Naibu
Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania, Dkt.Tulia Ackson (mwenye bendera nyeupe kulia) akifungua mashindano
ya Mbio za Baiskeli Mkoa wa Simiyu(Simiyu Jambo Festival) kwa kuruhusu
washirikuanza mashindano hayo Mjini Bariadi.
Mkuu wa Mkoa wa Simiyu. Mhe,Anthony Mtaka
akizungumza na Wakuu wa Shule (hawapo pichani) wakati wa kufunga mafunzo yao ya
siku mbili yaliyofanyika Mjini Bariadi, (kulia) Afisa Elimu Mkoa, Mwl.Julius
Nestory.