Jumatano, 6 Septemba 2017

RC MTAKA:SIMIYU KUJENGA KIWANDA CHA BIDHAA ZA AFYA


Mkuu wa mkoa wa Simiyu mhe, Antony Mtaka akizungumza na wananchi wa Kata ya Dutwa(hawapo pichani) Wilayani Bariadi katika Mkutano wa Hadhara uliofanyika katika Kijiji cha Igaganulwa  wakati wa ziara yake aliyofanya kwa lengo la kusikiliza kero za wananchi na kuzitafutia ufumbuzi.

Jumamosi, 2 Septemba 2017

DC MASWA:TATIZO LA MAJI KUTATULIWA NDANI YA WIKI MBILI



Aliyesimama ni mgeni rasmi ambaye ni mkuu wa wilaya ya maswa dkt Self shekalaghe akiongea na waislamu kwenye baraza la Eid El Hajj