Jumatano, 1 Novemba 2017

MASWA YAKOPESHA MAMILIONI VIKUNDI VYA VIJANA,WANAWAKE

wanne kutoka kulia ni mkuu wa wilaya ya maswa dkt Seif Shekalaghe na watano toka kulia ni mwenyekiti wa ccm wilaya ya maswa wakiwa kwenye picha ya pamoja na waheshimiwa  madiwani ,watendaji wa halmashauri ya maswa pamoja na wawakilishi wa vikundi vilivyopokea hundi.